Wanafunzi 149,818 sawa na asilimia 69.96% wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, huku 64,323 wakipangiwa vyuo vya elimu ya ufundi na ualimu, kwa mwaka wa masomo 2025.
Takwimu hizo zimetolewa leo Juni 6, 2025 na Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ambaye amesema kuwa jumla ya wanafunzi 214,141 (wasichana 97,517 na wavulana 116,624) walikuwa na sifa za kuchaguliwa, wakiwemo 1,028 wenye mahitaji maalumu.
📍 Majina ya waliochaguliwa na fomu za kujiunga zinapatikana kwenye:
🔹 www.tamisemi.go.tz
🔹 www.nactvet.go.tz
🟢 SOMA MAJINA HAPA: Gusa link hapo juu ujue umechaguliwa wapi!
Post a Comment