PICHA: NYOMI YA WANANCHI MKOANI GEITA KWENYE KAMPENI YA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)


Pichani ni Sehemu ya Wananchi wa Bukombe mkoani Geita waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 12 Oktoba, 2025.




Aidha Dkt. Samia alimkabidhi ilani ya Chama hicho Mgombea nafasi ya ubunge kwa tiketi ya chama hicho Katika Jimbo la Bukombe daktari Doto Mashaka Biteko leo tarehe 12/oktoba/2025 baada ya mkutano mdogo wa Kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29/10/2025.


Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم

TUTUMIE UJUMBE HAPA