WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI VIWANJA VYA SHULE YA SEKONDARI USHIROMBO - BUKOMBE

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tayari amewasili kwenye viwanja vya shule yaa sekondari Ushirombo kusherehekea siku ya Mwalimu- Bukombe.


Mhe. Kassim Majaliwa ambaye ni mgeni rasmi katika siku ya mwalimu - Bukombe amewasili katika viwanja hivi akiambatana na mgombea Ubunge jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko.


Huu unakuwa msimu wa sita wa Maadhimisho ya siku ya mwalimu - Bukombe tangu yalipoanzishwa rasmi.




#Bukombe

#kusemanakutenda

#SikuyaMwalimuDuniani

#sikuyamwalimubukombe2025

Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA