BUNGENI: DKT. BITEKO AKILA KIAPO CHA KUWA MBUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LEO


Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko leo Novemba 11, 2025 akila kiapo cha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu.


Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم

TUTUMIE UJUMBE HAPA