MWENGE WA UHURU WAZINDUA BARABARA YA LAMI NZEGA

 

Nzega


Mwenge wa Uhuru 2026 umezindua mradi wa barabara ya Lumambo–Kitongo FDC yenye urefu wa km 1.750 na thamani ya bilioni 1.751.


Barabara hiyo iliyojengwa kwa kiwango cha lami ina lenga kuimarisha usafiri na usafirishaji, kuchochea shughuli za kiuchumi, biashara, kurahisisha wananchi kufikia huduma pamoja na kuupa Mji wa Nzega sura na hadhi mpya.



Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم

TUTUMIE UJUMBE HAPA