WAZIRI MKUU AFUNGA MKUTANO WA MAKAMBI YA WAADVENTISTA


Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Jumamosi, Septemba 19, 2026) ameshiriki Ibada Kuu na Kufunga Mkutano wa Makambi ya Kanisa la Waadventista Sabato, yaliyofanyika kwa siku saba, Kinyerezi jijini Dar es Salaam


Akizungumza na waumini wa kanisa hilo Dkt. Mwigulu amewasihi waumini wa kanisa hilo kuendelea kudumisha amani na kusimamia maadili ya watoto huku akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kulinda uhuru wa wananchi kuabudu kwa kadri ya imani zao.






Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA