NI CHEREKO YA NISHATI SAFI BANDA LA REA TANGA



📌Majiko ya gesi yanauzwa kwa bei ya ruzuku


📍Tanga


Wadau wa Sekta ya Nishati na wananchi mbalimbali wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa ajili ya kununua majiko ya gesi kwa bei ya ruzuku (shilingi 17,500 tu) katika Maadhimisho ya Wiki ya Chakula Duniani 2025 yanayofanyika jijini Tanga. 


Maadhimisho hayo yamepambwa na kauli mbiu: "Tuungane kwa pamoja kupata Chakula Bora kwa Maisha Bora ya Baadaye" yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Usagara jijini humo.





Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA