PICHA: WASHIRIKI WAKIENDELEA KUWASILI KWENYE UZINDUZI RASMI WA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE (JNHPP)


Matukio katika picha zikionyesha washiriki wakiwasili katika uzinduzi rasmi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115 leo tarehe 22 Agosti 2026.




Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA